12 Nafasi Za Kazi katika kiwanda cha Kilombero Sugar Co. Ltd – Februari 2025

Kampuni hii iko Kidatu, Bonde la Kilombero, ikiendesha mashamba mawili makubwa ya miwa na viwanda viwili vya sukari: Msolwa na Ruembe, vilivyopo katika wilaya za Kilombero na Kilosa, mkoa wa Morogoro.

 0
12 Nafasi Za Kazi katika kiwanda cha Kilombero Sugar Co. Ltd – Februari 2025

NAFASI ZA KAZI KILOMBERO SUGAR CO. LTD – FEBRUARI 2025

Kilombero Sugar Co. Ltd inakaribisha maombi ya nafasi 12 za ajira kwa waombaji wenye sifa kujiunga na timu yao.

Nafasi Zinazopatikana:

???? Senior Maintenance Worker Electrical—Nafasi 1
???? Farm Supervisor
???? Irrigation Team Lead
???? Heavy Truck Driver—Nafasi 2
???? Heavy Equipment & Field Service Foreman—Nafasi 1
???? Business Systems & Planning Analyst—Nafasi 1
???? Crop Manager—Nafasi 1
???? GIS Technician—Nafasi 1
???? Agriculture Optimisation Manager—Nafasi 1
???? Agronomist (Production) – Nafasi 1
???? Teacher Aid—Nafasi 1

Kuhusu Kilombero Sugar Co. Ltd

Kampuni hii iko Kidatu, Bonde la Kilombero, ikiendesha mashamba mawili makubwa ya miwa na viwanda viwili vya sukari: Msolwa na Ruembe, vilivyopo katika wilaya za Kilombero na Kilosa, mkoa wa Morogoro.

Kilombero Sugar Co. Ltd ni mzalishaji mkubwa wa sukari nchini Tanzania, ikimiliki hekari 26,000 za mashamba ya miwa – hekari 10,000 za kampuni na hekari 16,000 kutoka kwa wakulima wadogo wa Kilombero Growers.
✅ Inazalisha takribani 126,000 tani za sukari kwa mwaka na kuchakata miwa tani 600,000 kutoka kwa wakulima wadogo na mashamba yake.
Asilimia 45% ya miwa inayosagwa inatoka kwa wakulima wadogo, huku asilimia 55% ikitoka kwenye mashamba ya kampuni.
✅ Zaidi ya biashara 200 zimeanzishwa katika Bonde la Kilombero kutokana na mnyororo wa ugavi wa kampuni hii.